UVIRA : Askari jeshi na police 22 wakongomani wa shutumiwa ubakaji na ukeukaji wa haki za binadamu wa samba huko Luvungi.

Picture ya laprunellerdc

Korti ya Jeshi ya  Uvira yachunguza kesi 20 za ubakaji, ukeukaji wa kijinsia, katika uwanja wa mpira huko Luvungi tangu Jumatatu24, Agosti, 2020.

Katika masambo hiyo ambamo washetwa vidole  askari pamoja na polisi 22 wakongomani wanao endesha doriya huko bondeni ruzizi.

« Wanao samba ni wanajeshi  pamoja na askari polisi wanao tumika bondeni ruzizi na kati yao panaonekana wajeuri walio endesha ubakaji ya mtoot wa myaka kenda » ame kanusha kiongozi wa masambo  NGANAMA Joseph mbele wapasha habari

hukumu zitatolewa 2 Septemba ijayo. Ni kwa msaada wa panzi foudation ndiyo massambo hiyo yaendeshwa ya Dokta Denis Mukwege.

Janvier BARHAHIGA

Janvier Barhahiga

BKINFOS.NET est un média en ligne indépendant qui prônet la bonne gouvernance, la promotion socioculturelle et sportive de la jeunesse ainsi que la protection des ressources naturelles. BKINFOS.NET qui est un média en ligne reconnu officiellement sous RCCM CD/BKV/RCCM/22-B-00138 Id.nat : 22-J5801-N18907L numéro de d'impôt : A2217401P BKINFOS a ses adresses sur avenue P.E LUMUMBA /Maison des jeunes/Ville de Bukavu Est de la RDC. Contacts : zukamedia2022@gmail.com barhahiga2017@gmail.com +234 990885077