UVIRA : Askari jeshi na police 22 wakongomani wa shutumiwa ubakaji na ukeukaji wa haki za binadamu wa samba huko Luvungi.

Picture ya laprunellerdc

Korti ya Jeshi ya  Uvira yachunguza kesi 20 za ubakaji, ukeukaji wa kijinsia, katika uwanja wa mpira huko Luvungi tangu Jumatatu24, Agosti, 2020.

Katika masambo hiyo ambamo washetwa vidole  askari pamoja na polisi 22 wakongomani wanao endesha doriya huko bondeni ruzizi.

« Wanao samba ni wanajeshi  pamoja na askari polisi wanao tumika bondeni ruzizi na kati yao panaonekana wajeuri walio endesha ubakaji ya mtoot wa myaka kenda » ame kanusha kiongozi wa masambo  NGANAMA Joseph mbele wapasha habari

hukumu zitatolewa 2 Septemba ijayo. Ni kwa msaada wa panzi foudation ndiyo massambo hiyo yaendeshwa ya Dokta Denis Mukwege.

Janvier BARHAHIGA

BKINFOS.NET

BKINFOS.NET est un média en ligne indépendant. Ligne éditoriale : Changement social,climat, environnement, entrepreneuriat vert et Une santé (One health). BKINFOS.NET est un média en ligne du groupe ZUKA sarl(une entreprise sociale) reconnu officiellement sous RCCM CD/BKV/RCCM/22-B-00138 Id.nat : 22-J5801-N18907L numéro de d'impôt : A2217401P . BKINFOS a son adresse sur numero 14 avenue de l Résidence/Ville de Bukavu en RDC. Contacts : zukamedia2022@gmail.com bkinfos2019@gmail.com +243 990885077
Error: Failed to connect to www.auroramorgan.club port 443: Connection refused